Menejimenti ya TLSB wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu wa Bodi na Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea (Aliyekaa katikati) mara baada ya kumalizika kwa Mafunzo ya Wajumbe wa Bodi na Menejimenti tarehe 10 Aprili, 2025 katika Hoteli ya Ramada, Dar es Salaam.