Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa
Dkt. Mboni A. Ruzegea
Mkurugenzi Mkuu

Masaa Ya Kazi

Siku ya Juma Muda
Jumatatu - Ijumaa   9:00AM-07:00PM
Jumamosi   9:00AM-2:00PM
Jumapili & Sikukuu   Closed/Imefungwa

Dira Yetu

Kuwa Taasisi ya umma inayoongoza nchini katika kutoa na kusambaza taarifa mbalim...

Dhamira

Kutoa na kusambaza huduma sahihi kwa watu wote kwa wakati muafaka ili kuendeleza...

Mamlaka Yetu

TLSB ni chombo kilichopewa mamlaka ya kisheria ya kupata, kupanga, na kusambaza,...

Huduma Zetu

...
DIVISHENI YA UFUNDI

Divisheni ya ufundi inajishughulisha na uandaaji, uagizaji, utayarishaji na usambazaji wa machapisho katika Maktaba za Mikoa, Wilaya na Tarafa. Pia inatoa huduma  kwa  Vyuo, Taasisi za Serik...

...
KITENGO CHA WATOTO WADOGO NA SHULE ZA MSINGI

Divisheni ya Watoto na Shule (CSSD) hutoa huduma kwa watoto na wanafunzi, pia inahusika kutoa mwongozo katika uanzishaji wa maktaba za shule na vyuo, na kutembelea shule kuanzia za awali, msingi...

...
KITENGO CHA BIBLIOGRAFIA YA TAIFA (NATIONAL BIBLIOGRAPHICAL...

Kitengo cha Bibliografia ya Taifa ni  sehemu ya Maktaba ya Taifa ambayo inatekeleza  majukumu yafuatayo: •    Kuelimisha wachapishaji wa ndani juu ya namna bora ya k...

...
HUDUMA ZA USOMAJI KWA WATU WAZIMA (READERS SECTION DIVISION...

Divisheni ya watu wazima (RSD) hutoa huduma ya usomaji kwa watu wazima na miongozo mbalimbali ikiwemo jinsi ya kuanzisha, kuendesha na kutumia Maktaba nchini. VITENGO KATIKA DIVISHENI i. &n...

Maktaba Mtandao

...
Sayansi na Tecknolojia

Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Sayansi na Teknolojia kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Sayansi na T...

10 Nov,2022
...
Kidato cha 5 & 6 - Basic Applied Mathematics

Title: Basic Applied Mathematics Form5 & 6 Author: Tanzania Institute of Education Publisher of Book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication:...

09 Nov,2022
...
Jiografia kwa Shule ya Sekondari

Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania   The book is d...

09 Nov,2022
...
Chemistry

Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of Publication: 2021 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania This textbook, Chemistr...

19 Oct,2022

Habari Mpya

...
Heri ya Mwaka Mpya 2026

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawatakia heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote, ukawe mwaka wa Baraka na Fanaka tele, huku tukitunza tunu zetu ambazo ambazo ni Amani, Umoja na Mshikamano.

01 Jan, 2026
...
TLSB YASHIRIKI MAONESHO KATIKA SHEREHE ZA ROMBO MARATHON & N...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imeshiriki kikamilifu katika Maonesho yaliyofanyika sambamba na Sherehe za Rombo Marathon & Ndafu Festival 2025, zilizofanyika tarehe 23 Desemba, 2025 kat...

31 Dec, 2025
...
WAKUTUBI WATAKIWA KULINDA NA KUHIFADHI KUMBUKUMBU ZA TAIFA K...

Wakutubi nchini wametakiwa kuhifadhi, kulinda na kusimamia taarifa pamoja na kumbukumbu za Taifa kwa weledi na uadilifu mkubwa, kwani taaluma yao ni muhimu sana katika ulimwengu wa sasa unaokabiliwa n...

31 Dec, 2025
...
SLADS ALUMNI WAKABIDHI KOMPYUTA MPAKATO 11 SLADS

Umoja wa Wahitimu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS ALUMNI) umekabidhi jumla ya Kompyuta Mpakato 11 kwa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) katika hafla iliyofanyika tarehe 20 De...

31 Dec, 2025