| Siku ya Juma | Muda |
|---|---|
| Jumatatu - Ijumaa |   9:00AM-07:00PM |
| Jumamosi |   9:00AM-2:00PM |
| Jumapili & Sikukuu |   Closed/Imefungwa |
Divisheni ya ufundi inajishughulisha na uandaaji, uagizaji, utayarishaji na usambazaji wa machapisho katika Maktaba za Mikoa, Wilaya na Tarafa. Pia inatoa huduma kwa Vyuo, Taasisi za Serik...
Divisheni ya Watoto na Shule (CSSD) hutoa huduma kwa watoto na wanafunzi, pia inahusika kutoa mwongozo katika uanzishaji wa maktaba za shule na vyuo, na kutembelea shule kuanzia za awali, msingi...
Kitengo cha Bibliografia ya Taifa ni sehemu ya Maktaba ya Taifa ambayo inatekeleza majukumu yafuatayo: • Kuelimisha wachapishaji wa ndani juu ya namna bora ya k...
Divisheni ya watu wazima (RSD) hutoa huduma ya usomaji kwa watu wazima na miongozo mbalimbali ikiwemo jinsi ya kuanzisha, kuendesha na kutumia Maktaba nchini. VITENGO KATIKA DIVISHENI i. &n...
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Sayansi na Teknolojia kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Sayansi na T...
Title: Basic Applied Mathematics Form5 & 6 Author: Tanzania Institute of Education Publisher of Book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication:...
Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania The book is d...
Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of Publication: 2021 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania This textbook, Chemistr...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka waandishi wa vitabu nchini kuwa wabunifu katika kazi zao ili kuongeza hamasa ya usomaji na kudumisha amani na um...
Vijana nchini wametakiwa kujenga mazoea ya kutumia maktaba katika enzi hii ya mabadiliko na kukua kwa teknolojia hasa Akili Unde, ili kujiongezea ujuzi unaohitajika katika dunia ya sasa. Hayo y...
Wanafunzi 48 wa Shule ya Msingi na Awali ya Gosheni iliyopo Bunju ‘A’, wilaya ya Kinondoni, wamefanya ziara ya mafunzo katika Maktaba Kuu ya Taifa Posta, leo tarehe 24 Oktoba 2025, jijini...
Walezi na Watoto 57 kutoka Kituo cha Malezi na Makuzi ya Watoto Tumbi, kilichopo chini ya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani, wametembelea Maktaba ya Taifa Posta kujifunza umuhimu wa kusoma vitabu n...