TANGAZO! Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) anakaribisha maombi ya kujiunga na Chuo kwa kozi za Ukutubi, Uhifadhi Nyaraka na ICT kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Nyote mnakaribis...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawakaribisha kutembelea banda lake katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma kuanzia tareh...
Waandishi wa fasihi ya Kiswahili wametakiwa kujenga utamaduni wa kutembelea maktaba ili kupata maarifa mapya na kufahamu mahitaji ya wasomaji wa vitabu kulingana na muktadha wa wakati na mabadiliko ya...
Waajiriwa wapya wapatao 51 wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa weledi na ufanisi. Hayo yamesemwa tarehe 07 Mei, 202...
TLSB imeshiriki maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadia Mkoani Singida tarehe 1 Mei, 2025. Katika maadhimisho hayo, Watumishi wa TLSB Maktaba ya Mkoa wa Sin...
Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuletea Bodi mafanikio kwani wamepewa dhamana kubwa na kuaminiwa kushika nafasi hizo. Hayo yamesema na Mwenyekiti wa B...