Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
Heri ya Mwaka Mpya 2026

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawatakia heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote, ukawe mwaka wa Baraka na Fanaka tele, huku tukitunza tunu zetu ambazo ambazo ni Amani, Umoja na Mshikamano.

01 Jan, 2026
...
TLSB YASHIRIKI MAONESHO KATIKA SHEREHE ZA ROMBO MARATHON & N...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imeshiriki kikamilifu katika Maonesho yaliyofanyika sambamba na Sherehe za Rombo Marathon & Ndafu Festival 2025, zilizofanyika tarehe 23 Desemba, 2025 kat...

31 Dec, 2025
...
WAKUTUBI WATAKIWA KULINDA NA KUHIFADHI KUMBUKUMBU ZA TAIFA K...

Wakutubi nchini wametakiwa kuhifadhi, kulinda na kusimamia taarifa pamoja na kumbukumbu za Taifa kwa weledi na uadilifu mkubwa, kwani taaluma yao ni muhimu sana katika ulimwengu wa sasa unaokabiliwa n...

31 Dec, 2025
...
SLADS ALUMNI WAKABIDHI KOMPYUTA MPAKATO 11 SLADS

Umoja wa Wahitimu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS ALUMNI) umekabidhi jumla ya Kompyuta Mpakato 11 kwa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) katika hafla iliyofanyika tarehe 20 De...

31 Dec, 2025
...
SLADS NA ADEM KUTOA MAFUNZO YA MUDA MFUPI KWA WATENDAJI SEKT...

Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) kwa kushirikiana na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) wameingia katika Mkataba wa Makubaliano ya Kazi (MoU) unaolenga kuimarisha utoaji wa Maf...

31 Dec, 2025
...
KONGAMANO LA KWANZA LA NDANI KUHUSU UBORESHAJI WA HUDUMA ZA...

Wakutubi nchini wametakiwa kubuni na kuimarisha mbinu mpya katika utekelezaji wa majukumu yao ili kutoa huduma kwa uweledi na ufanisi, hatua itakayowezesha jamii kunufaika kikamilifu na maarifa yaliyo...

31 Dec, 2025