Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
SLADS YAFANYA KONGAMANO KUKUTANISHA ‘ALUMNAE’

Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) kwa mara ya kwanza kimewakutanisha Wahitimu wa Chuo hicho (Alumnae) katika Kongamano lililofanyika tarehe 22 Novemba 2024, katika viwanja vya SLADS Bagamoy...

24 Apr, 2025
...
AMERICAN AFFILIATE SPACE YAZINDULIWA KATIKA MAKTABA YA MKOA...

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amezindua Kituo cha Wamerekani (American Affiliate Space) katika Maktaba ya Mkoa wa Dodoma tarehe 29 Mei, 2024. Akizungumza katika Ufu...

24 Apr, 2025
...
TLSB YAPOKEA MSAADA WA VIFAA NA MICHEZO KUTOKA SKY MOM YA TA...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imepokea msaada wa Kompyuta Mpakato (Laptop) 1, Projekta 2 na michezo aina saba ya watoto kwa ajili ya Divisheni ya Watoto na Shule vyenye thamani ya shilingi...

24 Apr, 2025
...
PROF. MKENDA ATETA NA KAMATI YA KITAIFA YA TUZO ZA TAIFA YA...

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, amefanya kikao na Kamati ya Kitaifa ya Tuzo za Taifa ya Uandishi bunifu ya Mwalimu Julius K. Nyerere, katika Ukumbi wa Mikutano wa Taasisi ya...

24 Apr, 2025
...
WATUMISHI WANAWAKE TLSB WAHIMIZWA KUNYANYUANA KATIKA MAENEO...

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Dkt. Mboni Ruzegea amewahimiza wanawake kunyanyuana katika maeneo ya kazi na kwingineko ili kujiletea maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na taif...

24 Apr, 2025
...
MAHAFALI YA ISHIRINI NA TISA (29) YA CHUO CHA UKUTUBI NA UHI...

Mkurugenzi wa Uendelezeji Taasisi Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ndugu Nolasco Kipanda, amewatunuku Wahitimu 196 Stashahada ya Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka ya Chuo Cha U...

24 Apr, 2025