Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
PROF. MUKANDALA ATETA NA WAJUMBE WAPYA WA BODI TLSB

Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuletea Bodi mafanikio kwani wamepewa dhamana kubwa na kuaminiwa kushika nafasi hizo. Hayo yamesema na Mwenyekiti wa B...

29 Apr, 2025
...
TLSB YAPOKEA UGENI KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Kamati ya Kudumu ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Sabiha Filfil Thani, imefanya ziara katika ofisi za Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) M...

28 Apr, 2025
...
DKT. MBONI RUZEGEA AFUNGUA MAONESHO YA VITABU YA MELI YA KIM...

Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, amefungua maonesho ya vitabu yaliyofanyika katika Meli ya kimataifa ya LOGOS HOPE iliyotia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Ghati namba 2, tarehe 6 Ok...

28 Apr, 2025
...
TLSB YAWAHAMASISHA WAANDISHI WACHANGA KUJISAJILI

TLSB kupitia Kitengo chake cha Bibliografia ya Taifa (NBA) kimepokea nakala za vitabu kwa ajili ya kuweka namba tambuzi kutoka kutoka kwa Mwandishi mchanga Peter Nsangano aliyeandika kitabu kiitwacho...

28 Apr, 2025
...
TLSB YATOA ZAWADI KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM SHULE YA...

Watumishi wanawake wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Makao Makuu Dar es salaam, tarehe 7 Machi, 2024 wametembelea shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko iliyoko jijini Dar es Salaam na kuwapati...

28 Apr, 2025
...
WATUMISHI WA TLSB WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MAHITAJI YA USIMA...

Watumishi wa TLSB, TBA,TGFA, DCEA na TIC wamepatiwa mafunzo kuhusu Mahitaji ya Rasilimali Watu Serikalini, tarehe 07 Desemba 2023, katika Ukumbi wa Mikutano TLSB Makao Makuu Dar es Salaam. Akifungua...

28 Apr, 2025