Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
PROF. MKENDA ATETA NA KAMATI YA KITAIFA YA TUZO ZA TAIFA YA...

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, amefanya kikao na Kamati ya Kitaifa ya Tuzo za Taifa ya Uandishi bunifu ya Mwalimu Julius K. Nyerere, katika Ukumbi wa Mikutano wa Taasisi ya...

24 Apr, 2025
...
WATUMISHI WANAWAKE TLSB WAHIMIZWA KUNYANYUANA KATIKA MAENEO...

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Dkt. Mboni Ruzegea amewahimiza wanawake kunyanyuana katika maeneo ya kazi na kwingineko ili kujiletea maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na taif...

24 Apr, 2025
...
MAHAFALI YA ISHIRINI NA TISA (29) YA CHUO CHA UKUTUBI NA UHI...

Mkurugenzi wa Uendelezeji Taasisi Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ndugu Nolasco Kipanda, amewatunuku Wahitimu 196 Stashahada ya Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka ya Chuo Cha U...

24 Apr, 2025
...
DKT. MBONI RUZEGEA AFUNGUA MAONESHO YA VITABU YA MELI YA KIM...

Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, amefungua maonesho ya vitabu yaliyofanyika katika Meli ya kimataifa ya LOGOS HOPE iliyotia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Ghati namba 2, tarehe 6 Ok...

24 Apr, 2025
...
TLSB YAFANYA MAFUNZO YA VVU, UKIMWI, RUSHWA NA AFYA YA AKILI...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanazania (TLSB), imefanya Semina kuhusu VVU, Ukimwi, Rushwa na Afya ya Akili kwa Watumishi wa SLADS ili kuwaongezea uelewa, maarifa na njia za kukabiliana na changamoto zita...

24 Apr, 2025
...
TSLB YAPOKEA VITABU KUTOKA JUMUIYA YA KIISLAM YA AHMADIYYA

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imepokea vitabu vyenye maudhui mbalimbali zaidi ya 20 kutoka kwa Jumuiya ya Kiislam ya Ahmadiyya ukanda wa Mnazi Moja mkoa wa Dar es Salaam, tarehe 24 Januari...

23 Apr, 2025