Waandishi wa fasihi ya Kiswahili wametakiwa kujenga utamaduni wa kutembelea maktaba ili kupata maarifa mapya na kufahamu mahitaji ya wasomaji wa vitabu kulingana na muktadha wa wakati na mabadiliko ya...
Waajiriwa wapya wapatao 51 wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa weledi na ufanisi. Hayo yamesemwa tarehe 07 Mei, 202...
TLSB imeshiriki maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadia Mkoani Singida tarehe 1 Mei, 2025. Katika maadhimisho hayo, Watumishi wa TLSB Maktaba ya Mkoa wa Sin...
Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuletea Bodi mafanikio kwani wamepewa dhamana kubwa na kuaminiwa kushika nafasi hizo. Hayo yamesema na Mwenyekiti wa B...
Kamati ya Kudumu ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Sabiha Filfil Thani, imefanya ziara katika ofisi za Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) M...
Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, amefungua maonesho ya vitabu yaliyofanyika katika Meli ya kimataifa ya LOGOS HOPE iliyotia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Ghati namba 2, tarehe 6 Ok...
Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka yaani School of Library Archives and Documentation Studies (SLADS) kilichopo Bagamoyo na Dar es salaam, anapenda kuwakaribisha wahitimu wote wa m...