Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
SALAMU ZA PONGEZI KWA MWENYEKITI MPYA WA BODI YA WAKURUGENZI...

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Bodi ya Huduma za Mkataba Tanzania (TLSB), tunakupongeza Balozi Prof. Elizabeth Kiago Kiondo kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania M...

19 Mar, 2026
...
WANAWAKE WA TLSB WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE D...

Watumishi Wanawake wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania, Maktaba za mkoa wa Dar es Salaam wamehudhuria Viwanja vya Mburahati Barafu, yalipofanyika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kimkoa, leo...

08 Mar, 2026
...
TLSB YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA KAKAMA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimeeleza matumaini makubwa waliyonayo kwa Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKAMA) katika kuimarisha, kukuz...

16 Feb, 2026
...
Heri ya Mwaka Mpya 2026

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawatakia heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote, ukawe mwaka wa Baraka na Fanaka tele, huku tukitunza tunu zetu ambazo ambazo ni Amani, Umoja na Mshikamano.

01 Jan, 2026
...
TLSB YASHIRIKI MAONESHO KATIKA SHEREHE ZA ROMBO MARATHON & N...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imeshiriki kikamilifu katika Maonesho yaliyofanyika sambamba na Sherehe za Rombo Marathon & Ndafu Festival 2025, zilizofanyika tarehe 23 Desemba, 2025 kat...

31 Dec, 2025
...
WAKUTUBI WATAKIWA KULINDA NA KUHIFADHI KUMBUKUMBU ZA TAIFA K...

Wakutubi nchini wametakiwa kuhifadhi, kulinda na kusimamia taarifa pamoja na kumbukumbu za Taifa kwa weledi na uadilifu mkubwa, kwani taaluma yao ni muhimu sana katika ulimwengu wa sasa unaokabiliwa n...

31 Dec, 2025

Matangazo

MAHAFALI YA 29 YA CHUO CHA UKUTUBI NA UHIFADHI NYARAKA (SLAD...

  Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka yaani School of Library Archives and Documentation Studies (SLADS) kilichopo Bagamoyo na Dar es salaam, anapenda kuwakaribisha wahitimu wote wa m...

23 Nov, 2023