Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
PROF. MUKANDALA ATETA NA WAJUMBE WAPYA WA BODI TLSB

Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuletea Bodi mafanikio kwani wamepewa dhamana kubwa na kuaminiwa kushika nafasi hizo. Hayo yamesema na Mwenyekiti wa B...

26 Apr, 2025
...
SLADS NA ADEM WAKUTANA

Kaimu Mkuu wa chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) Bi. Bertha Mwaihojo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Dkt. Maulid J. Maulid, wamefanya kikao maalum na kujad...

24 Apr, 2025
...
TLSB YAFANYA MAFUNZO YA VVU, UKIMWI, RUSHWA NA AFYA YA AKILI...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanazania (TLSB), imefanya Semina kuhusu VVU, Ukimwi, Rushwa na Afya ya Akili kwa Watumishi ili kuwaongezea uelewa, maarifa na njia za kukabiliana na changamoto zitakazojitok...

24 Apr, 2025
...
KONA YA WATOTO TLSB YAFUNGULIWA MARA BAADA YA KUBORESHWA MUO...

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania imefanya Ufunguzi wa Kona ya Watoto iliyopo ndani ya jengo la Maktaba Kuu ya Taifa, jijini Dar es Salaam leo tarehe 30 Januari, 2025 mara baada ya ukarabati mdogo ul...

24 Apr, 2025
...
MKUTANO WA WADAU KWA UHAKIKI WA MTAALA SLADS

Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka na Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, leo tarehe 11 Machi, 2025 amefungua Mkutano wa Wadau kwa kuhakiki Mtaala wa Chuo cha SLADS....

24 Apr, 2025
...
WAKUTUBI WATAKIWA KUTUMIA TEKNOLOJIA ZA KISASA KATIKA KUCHAK...

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Dkt. Maulid J. Maulid amewataka Wakutubi kujifunza na kutumia teknolojia za kisasa katika kuchakata, kutayarisha na kuhifadhi taar...

24 Apr, 2025