Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa
Dkt. Mboni A. Ruzegea
Mkurugenzi Mkuu

Masaa Ya Kazi

Siku ya Juma Muda
Jumatatu - Ijumaa   9:00AM-07:00PM
Jumamosi   9:00AM-2:00PM
Jumapili & Sikukuu   Closed/Imefungwa

Dira Yetu

Kuwa Taasisi ya umma inayoongoza nchini katika kutoa na kusambaza taarifa mbalim...

Dhamira

Kutoa na kusambaza huduma sahihi kwa watu wote kwa wakati muafaka ili kuendeleza...

Mamlaka Yetu

TLSB ni chombo kilichopewa mamlaka ya kisheria ya kupata, kupanga, na kusambaza,...

Huduma Zetu

...
DIVISHENI YA UFUNDI

Divisheni ya ufundi inajishughulisha na uandaaji, uagizaji, utayarishaji na usambazaji wa machapisho katika Maktaba za Mikoa, Wilaya na Tarafa. Pia inatoa huduma  kwa  Vyuo, Taasisi za Serik...

...
KITENGO CHA WATOTO WADOGO NA SHULE ZA MSINGI

Divisheni ya Watoto na Shule (CSSD) hutoa huduma kwa watoto na wanafunzi, pia inahusika kutoa mwongozo katika uanzishaji wa maktaba za shule na vyuo, na kutembelea shule kuanzia za awali, msingi...

...
KITENGO CHA BIBLIOGRAFIA YA TAIFA (NATIONAL BIBLIOGRAPHICAL...

Kitengo cha Bibliografia ya Taifa ni  sehemu ya Maktaba ya Taifa ambayo inatekeleza  majukumu yafuatayo: •    Kuelimisha wachapishaji wa ndani juu ya namna bora ya k...

...
HUDUMA ZA USOMAJI KWA WATU WAZIMA (READERS SECTION DIVISION...

Divisheni ya watu wazima (RSD) hutoa huduma ya usomaji kwa watu wazima na miongozo mbalimbali ikiwemo jinsi ya kuanzisha, kuendesha na kutumia Maktaba nchini. VITENGO KATIKA DIVISHENI i. &n...

Maktaba Mtandao

...
Sayansi na Tecknolojia

Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Sayansi na Teknolojia kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Sayansi na T...

10 Nov,2022
...
Kidato cha 5 & 6 - Basic Applied Mathematics

Title: Basic Applied Mathematics Form5 & 6 Author: Tanzania Institute of Education Publisher of Book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication:...

09 Nov,2022
...
Jiografia kwa Shule ya Sekondari

Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania   The book is d...

09 Nov,2022
...
Chemistry

Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of Publication: 2021 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania This textbook, Chemistr...

19 Oct,2022

Habari Mpya

...
DKT. MBONI RUZEGEA AFUNGUA MAONESHO YA VITABU YA MELI YA KIM...

Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, amefungua maonesho ya vitabu yaliyofanyika katika Meli ya kimataifa ya LOGOS HOPE iliyotia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Ghati namba 2, tarehe 6 Ok...

28 Apr, 2025
...
TLSB YAWAHAMASISHA WAANDISHI WACHANGA KUJISAJILI

TLSB kupitia Kitengo chake cha Bibliografia ya Taifa (NBA) kimepokea nakala za vitabu kwa ajili ya kuweka namba tambuzi kutoka kutoka kwa Mwandishi mchanga Peter Nsangano aliyeandika kitabu kiitwacho...

28 Apr, 2025
...
TLSB YATOA ZAWADI KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM SHULE YA...

Watumishi wanawake wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Makao Makuu Dar es salaam, tarehe 7 Machi, 2024 wametembelea shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko iliyoko jijini Dar es Salaam na kuwapati...

28 Apr, 2025
...
WATUMISHI WA TLSB WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MAHITAJI YA USIMA...

Watumishi wa TLSB, TBA,TGFA, DCEA na TIC wamepatiwa mafunzo kuhusu Mahitaji ya Rasilimali Watu Serikalini, tarehe 07 Desemba 2023, katika Ukumbi wa Mikutano TLSB Makao Makuu Dar es Salaam. Akifungua...

28 Apr, 2025