| Siku ya Juma | Muda |
|---|---|
| Jumatatu - Ijumaa |   9:00AM-07:00PM |
| Jumamosi |   9:00AM-2:00PM |
| Jumapili & Sikukuu |   Closed/Imefungwa |
Divisheni ya ufundi inajishughulisha na uandaaji, uagizaji, utayarishaji na usambazaji wa machapisho katika Maktaba za Mikoa, Wilaya na Tarafa. Pia inatoa huduma kwa Vyuo, Taasisi za Serik...
Divisheni ya Watoto na Shule (CSSD) hutoa huduma kwa watoto na wanafunzi, pia inahusika kutoa mwongozo katika uanzishaji wa maktaba za shule na vyuo, na kutembelea shule kuanzia za awali, msingi...
Kitengo cha Bibliografia ya Taifa ni sehemu ya Maktaba ya Taifa ambayo inatekeleza majukumu yafuatayo: • Kuelimisha wachapishaji wa ndani juu ya namna bora ya k...
Divisheni ya watu wazima (RSD) hutoa huduma ya usomaji kwa watu wazima na miongozo mbalimbali ikiwemo jinsi ya kuanzisha, kuendesha na kutumia Maktaba nchini. VITENGO KATIKA DIVISHENI i. &n...
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Sayansi na Teknolojia kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Sayansi na T...
Title: Basic Applied Mathematics Form5 & 6 Author: Tanzania Institute of Education Publisher of Book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication:...
Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania The book is d...
Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of Publication: 2021 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania This textbook, Chemistr...
Wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ikiwemo Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Ustawi wa Jamii, pamoja na viongozi kutoka Wizara ya Elimu, Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA...
31 Agosti 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), Dkt. Mboni Ruzegea, leo tarehe 31 Agosti 2026 amekutana na watumishi wapya 23 wa kada ya Ukutubi katika kikao cha ‘i...
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Bodi ya Huduma za Mkataba Tanzania (TLSB), tunakupongeza Balozi Prof. Elizabeth Kiago Kiondo kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania M...
Watumishi Wanawake wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania, Maktaba za mkoa wa Dar es Salaam wamehudhuria Viwanja vya Mburahati Barafu, yalipofanyika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kimkoa, leo...