Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa
Profesa Rwekaza Sympho Mukandala
Mwenyekiti wa Bodi
Siku ya Juma Muda
Jumapili & Sikukuu   Closed/Imefungwa
Jumamosi   9:00AM-2:00PM
Jumatatu - Ijumaa   9:00AM-07:00PM

Dira Yetu

Kuwa Taasisi ya umma inayoongoza nchini katika kutoa na kusambaza taarifa mbalimbali kwa njia ya vitabu, machapisho na teknolojia ya kisasa kupitia mt...

Dhamira

Kutoa na kusambaza huduma sahihi kwa watu wote kwa wakati muafaka ili kuendeleza kisomo, kujiburudisha na kuendeleza utamaduni kwa jamii. Pia kukusany...

Mamlaka Yetu

TLSB ni chombo kilichopewa mamlaka ya kisheria ya kupata, kupanga, na kusambaza, taarifa katika nyanja zote za maisha. Maarifa yaliyokusanywa kupitia...

Huduma Zetu

...
DIVISHENI YA UFUNDI

Divisheni ya ufundi inajishughulisha na uandaaji, uagizaji, utayarishaji na usambazaji wa machapisho katika Maktaba za Mikoa, Wilaya na Tarafa. Pia inatoa huduma  kwa  Vyuo, Taasisi za Serik...

...
KITENGO CHA WATOTO WADOGO NA SHULE ZA MSINGI

Divisheni ya Watoto na Shule (CSSD) hutoa huduma kwa watoto na wanafunzi, pia inahusika kutoa mwongozo katika uanzishaji wa maktaba za shule na vyuo, na kutembelea shule kuanzia za awali, msingi...

...
KITENGO CHA BIBLIOGRAFIA YA TAIFA (NATIONAL BIBLIOGRAPHICAL...

Kitengo cha Bibliografia ya Taifa ni  sehemu ya Maktaba ya Taifa ambayo inatekeleza  majukumu yafuatayo: •    Kuelimisha wachapishaji wa ndani juu ya namna bora ya k...

...
HUDUMA ZA USOMAJI KWA WATU WAZIMA (READERS SECTION DIVISION...

Divisheni ya watu wazima (RSD) hutoa huduma ya usomaji kwa watu wazima na miongozo mbalimbali ikiwemo jinsi ya kuanzisha, kuendesha na kutumia Maktaba nchini. VITENGO KATIKA DIVISHENI i. &n...

Maktaba Mtandao

...
Sayansi na Tecknolojia

Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Sayansi na Teknolojia kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Sayansi na T...

10 Nov,2022
...
Kidato cha 5 & 6 - Basic Applied Mathematics

Title: Basic Applied Mathematics Form5 & 6 Author: Tanzania Institute of Education Publisher of Book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication:...

09 Nov,2022
...
Jiografia kwa Shule ya Sekondari

Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of publication: 2019 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania   The book is d...

09 Nov,2022
...
Chemistry

Author: Tanzania Institute of Education Publisher of book: Tanzania Institute of Education Year of Publication: 2021 Country of Publication: Dar es salaam, Tanzania This textbook, Chemistr...

19 Oct,2022

Habari Mpya

...
WANAFUNZI WA GOSHENI NURSERY AND PRIMARY SCHOOL WATEMBELEA M...

Wanafunzi 48 wa Shule ya Msingi na Awali ya Gosheni iliyopo Bunju ‘A’, wilaya ya Kinondoni, wamefanya ziara ya mafunzo katika Maktaba Kuu ya Taifa Posta, leo tarehe 24 Oktoba 2025, jijini...

24 Oct, 2025
...
KITUO CHA MALEZI NA MAKUZI YA WATOTO TUMBI WATEMBELEA MAKTAB...

Walezi na Watoto 57 kutoka Kituo cha Malezi na Makuzi ya Watoto Tumbi, kilichopo chini ya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani, wametembelea Maktaba ya Taifa Posta kujifunza umuhimu wa kusoma vitabu n...

18 Oct, 2025
...
WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI ULONGONI ‘A’ WATEMBELEA MAKTABA...

Wanafunzi 102 wa Shule ya Msingi Ulongoni ‘A’ kutoka Manispaa ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, wametembelea Maktaba ya Taifa Posta kwa lengo la kujifunza kwa vitendo historia ya Tanzania ku...

18 Oct, 2025
...
MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA UMAHIRI (LITERACY)

Jamii imekubushwa kutumia Maktaba kujiongezea maarifa kwani Maktaba ni kitovu cha elimu endelevu na sio ghala la kuhifadhia vitabu pekee. Hayo yamesemwa leo tarehe 9 Septemba 2025 na Mkuu wa Wilaya y...

09 Sep, 2025